
nyambago central zone awards z back na kuanzia kesho kura zitaanza kupigwa na mimi @jacobeatz niko nominated kama msanii bora wa bongo fleva wa kiume kanda ya kati ......... kuanzia kesho ntaomba sapoti yako kutokana na code ntakazotoa kwa kunipigia kura niweze kunyakua tuzo tarehe 26 @nyambagoawards