NILLAH (HALLY C) KUTOKA THT AIHIDI KUFANYA MAKUBWA KWENYE SHOW YAKUZALIWA AINEA 27 JAN 2016 DODOMA. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, January 19, 2016

NILLAH (HALLY C) KUTOKA THT AIHIDI KUFANYA MAKUBWA KWENYE SHOW YAKUZALIWA AINEA 27 JAN 2016 DODOMA.

Msanii wa muziki kutoka dodoma ambaye alikuwa akifahamika kwa jina la Hally C kipindi akifanya harakati za muziki mkoani dodoma na kubadilisha jina lake na kuitwa Nillah baada ya kuingia THT ameeleza makubwa ambayo yatotokea kutoka kwake kwenye show ya kuzaliwa msanii wa muziki AINEA.

Akizungumza na kipindi cha Micharazo time Nillah amesema masahbiki wa muziki wategemee kitu kikibwa sana ambacho hawajawai kukiksikia kutoka kwake.

kwenye show hiyo Nila amesema show ambayo ataionesha ni show ambayo hajawai kupiga tangu aanze muziki, akiongea kwa tabasamu ya hali ya juu Nillah amesema huku akicheka kuwa atadondosha mauno ya hali juu siku hiyo.

Show ya kuzaliwa kwa AINEA itafanyika siku ya 27 jan 2016 kwenye ukumbi wa kili time makulu hakikisha hii haikupiti.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages