RATIBA YA BURUDANI HII LEO KWENYE MKESHA WA MWAKA MPYA MKOANI DODOMA, CHAGUA MWENYEWE UKAKESHE WAPI - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, December 31, 2015

RATIBA YA BURUDANI HII LEO KWENYE MKESHA WA MWAKA MPYA MKOANI DODOMA, CHAGUA MWENYEWE UKAKESHE WAPI

Ndani ya mkoa wa dodoma hii leo burudani viwanja kibao, kwawewe mpenda burudani hii inakuhusa sana.
1 A FM leo watakuwa Club 7 wakiangusha burudani na msanii kuttoka WCB HARMONIZE na mkali wa hip hop STAMINA..
2.CLUB PERUGINA leo ukifika utakesha pamoja na Mh TEMBA&CHEGE kwa kiingilio cha shilingi 10000 tu.
3. MASTER PUB kutakuwa na band ya SAKI STAR.   (bure)
4.CLUB LAAZIZ kutakuwa na band ya TNC BAND    (bure)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages