ROBBY MGAYA OUT KWETU HOUSE, AWASHUKURU WOTE WALIO KUWA WAKIMSAPOTI NDANI YA JUMBA. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, September 22, 2015

ROBBY MGAYA OUT KWETU HOUSE, AWASHUKURU WOTE WALIO KUWA WAKIMSAPOTI NDANI YA JUMBA.

Mshiriki aliye kuwa akishiriki kwenye shindano la kwetu house kutoka Dodoma Robby mgaya kwasasa ametoka kwenye shindano hilo na amechukua fursa kupitia account yake ya facebook kuwashukuru baadhi ya wadau walio kuwa wakimsapoti wakati yupo kwenye shindano hilo.

NA HIKI NDICHO ALICHO ANDIKA.

Robby Mgaya's photo.
Finally nko nje ya shindano la kwetu house..nau nko naelekea dodoma..nashukurun saana kwa love mlionionesha nmefalijika saaaana.. cna cha kuwalipa wanangu zaid ya kuwaombea baraka zaid kwa mwenyez mungu..mbalikiwe saaana..‪#‎harakatizinaendelea‬

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages