ROBBY MGAYA AIWAKILISHA DODOMA KWENYE SHINDANO LA KWETU HOUSE 2015. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, September 1, 2015

ROBBY MGAYA AIWAKILISHA DODOMA KWENYE SHINDANO LA KWETU HOUSE 2015.

Robby mgaya ni mdau mkubwa wa muziki toka dodoma na amekuwa akiwasapoti wasanii wengi wa muziki ambao wanatokea dodoma pia  ni meneji ya mitandao wa mwanamuziki Breezy ambae anamiliki hit ya Tamu kama haitushi huyu jamaa anaunda kundi la Team Mveme.
leo katika pita pita zangu kwenye mitandao nimekutana na post toka The capital Tz ikionesha list ya watu waliopita 20 bora kwenye shindano la KWENTU HOUSE ambalo lipo chini ya AZAMTV ndipo nilipo kutana na sura ya Robby Mgaya japo mwandishi wa story hiyo haku elezea kwa kuwataja majina.
SWALI ni je Robby Mgaya ni miongoni mwa washiriki? au alikuwa anafanya kitu ani.
ukiitazama picha hapo chini utaona kutoka kushoto walio simama wa pili ndiye Robby Mgaya.

kutoka kushoto walio simama wapili ni Robby mgaya.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages