MANENO MAKALI YA WAZEE HAWA KWA VIJANA WA DODOMA, KUTOKA KINTIKU - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, September 17, 2015

MANENO MAKALI YA WAZEE HAWA KWA VIJANA WA DODOMA, KUTOKA KINTIKU

Baadhi  ya wazee wa kijiji cha kintiku wilayani bahi wametoa ushauri kwa vijana kuacha kuoa wake zaidi ya mmoja kutoka na mabadiliko ya tabia nchi pamoja na ugumu wa maisha.

Ushauri huo wametoa wakati wakizungumza na kipindi cha nyakati zinabadilika nakusema maisha yamebadilika stofauti na zamani  kwani wazee wa zamani waliweza kuwa na wake zaidi ya mmoja kutokana na mazingira yalikuwa mazuri katika hali ya ufugaji pamoja na kilimo, mzee Yohana nkambi anaelezea.

Bwana Nkambi ameongeza na kusema kwasasa vijana wanakumbwa na changamoto nyingi ikiwemo maradhi pamoja na ugumu wa maisha kama anavyoelezea.

Nae mzee Adam Mwaluko ametoa wito kwa vijana kujishughulisha kwa nguvu pamoja na kuwa na miradi ambayo itawasaidia kuongeza kipato pamoja na kutunza familia.


Na benedict Ngelangela

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages