JACQUELINE MATERU ANYOOSHA MIKONO KWA MAADUI ZAKE, ATANGAZA KUACHA UIGIZAJI, ACCOUNT YAKE YA FACEBOOK YAFUNGWA. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Saturday, August 22, 2015

JACQUELINE MATERU ANYOOSHA MIKONO KWA MAADUI ZAKE, ATANGAZA KUACHA UIGIZAJI, ACCOUNT YAKE YA FACEBOOK YAFUNGWA.

mwigizaji wa kike toka dodoma ambaye anashikiria tuzo ya mwigizaji bora wa kike kanda ya kati JACQULINE MATERU kupitia account yake ya facebook amepost ujumbe wakusikitisha ulio beba maneno ya huruma.
Kupitia ujumbe huo ambao haukuambatana na picha ya aina yoyote Materu ameelezea magumu ayapatayo toka kwa watu ambao sio marafiki zake wa kweli(maadui zake) kwani wamefikia hatua za kumtumia hadi ujumbe wa matusi kwenye ukurasa wa facebook.
hakuishia hapo pia ameelezea kuwa kwasasa yupo tayari kuto kuendelea na uigizaji tena.
mtandao huu wa ngelangelanews ulipo anza kufuatilia ili kujua ukweli wa aliyoyaandika na kuchukua hatua ya kumtumia message inbox (facebook) alijibu kuwa ni kweli ameecha kuigiza na ni maamuzi yake binafsi.
MATERU AKIWA LOCATION
mwandishi wa mtandao huu alipojaribu kumuuliza swali la pili kujua sababu ndio ghafla account yake ya facebook ikapotea na kushindwa hata kutuma message pia hata profile picha ikapotea, pamoja na kushindwa hata kuona kati ya post ambazo aliwai kuzituma.
SWALI NI JE? jacline kwenye post hiyo alilamika kuwa kuna watu wamemtukana baada ya kupost kuwa yeye ni SUPER STAR lakini baada ya muda mfupi kuna post nyingine ya mtu mwingine ilitoka na baadhi ya wadau wakadai kuwa ni jibu/dongo kwa bidada huyo.
POST ILISOMEKA
MOJA YA KAZI ALIZOWAI KUZICHEZA KABLA YA KUTANGAZA KUSTAFF.
@@@@@@@li  hii dunia wote tunapita walikuwepo mastar wa dunia Leo hawapo ss usijione umeishika dunia kwa kufahamika na watu wa mtaani kwenu ..over@@@@@@
je kuna mfanano wowote wa post izo mbili au walio comment kuwa muhusika ni uyo wamekosea?
BADO MTANDAO HUU UNAENDELEA KUFUATILIA KIUNDANI ZAIDI KUJUA CHANZO.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages