ALICHOPOST MSANII WA FILAMU MKOANI DODOMA JACQUELINE MATERU, KUMBE NI DONGO KWA HAWA HAPA. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Sunday, August 9, 2015

ALICHOPOST MSANII WA FILAMU MKOANI DODOMA JACQUELINE MATERU, KUMBE NI DONGO KWA HAWA HAPA.


Baadhi ya watu walianza kujiuliza kuwa nini kimemkumba msanii huyu wa filamu ambaye ni maarufu sana mkoani dodoma JACQULINE MATERU baada ya kuwa mara kwa mara amekuwa akipost status zenye ujumbe kama vile unawalenga watu au kundi la watu kupitia ukurasa wake wa facebook na kuwaacha watu wengi njia panda.
Baada ya mwandishi wa mtandao huu kukutana na status izo pamoja na comment za marafiki zake amegundua kuwa ni lazima kuna kitu nyuma kinaendelea ambacho kimemkera mwanadada huyu ambaye ni mrembo na mwenye kipaji kikubwa.
Mwandishi wa mtandao huu umepekenyuakwa kina na kugundua kuwa MATERU anawapa ujumbe watu watu wenye tabia zifuatazo ambazo sio nzuri kabisa.
1. WANAO  FUATILIA MAMBO YA WATU.
2.WANAO TAKA KUMUHARIBIA KAZI ZAKE
3.WANAO TAKA KUPATA KICK KUPITIA YEYE.
4.WAMBEA
5.WAPIGA MAJUNGU.

NA HII NI MOJA KATI YA STATUS ZAKE ZENYE UZITO NA UJUMBE MZITO KWA WATU WENYE TABIA KAMA HIZO HAPO JUU.
Nawaheshimu na nawapenda sana mashabiki zangu,nimepokea mawazo na ushauri wenu,iam a gud girl ‪#‎TALENTED‬ ambaye nafanya kazi zinaonekana na zinakubalika,asanteni kwa kutambua mimi ni kioo cha jamii na kunisihi niachane na baadhi ya wajinga wanaotaka kuniharibia jina,sitowapa kick napigana kuifikisha tasnia ya muv dodoma mbali zaidi.asanteni much lov

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages