DODOMA FM RADIO YATOA TUZO (ZAWADI) KWA WAFANYAKAZI WALIO FANYA VIZURI NUSU MWAKA TAZAMA PICHA..... - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, July 16, 2015

DODOMA FM RADIO YATOA TUZO (ZAWADI) KWA WAFANYAKAZI WALIO FANYA VIZURI NUSU MWAKA TAZAMA PICHA.....


kituo cha radio cha dodoma fm  hivi karibuni kimewatangaza pamoja na kuwapa zawadi wafanya kazi waliofanya vizuri kuanzia mwezi 1 mpaka mwezi 6(nusu mwaka).
zawadi hizo zilizotolewa kwa kugawa vipengele mbalimbali. kama mfanyakazi bora, mtangazaji bora, mwanahabari bora, pamoja na kipengele cha mfanyakazi ambaye ni Nadhifu kwa upande wa kiume na kike.
VIPENGELE HIVYO PAMOJA NA WASHINDI.
*Mfanyakazi bora= MAKOA HAMISI.
*Mwanahabari bora= PASCHAL MWINJE
*Mtangazaji Bora= BENEDICT NGELANGELA.
PIA....
Tuzo ya Mtanashati ikibebwa na VICTOR MAKWAWA na Binti Mrembo ikibebwa na ZANIA MIRAJI.
Zania Miraji ambaye ndie meneja wa kituo Akimkabidhi cheti MAKOHA HAMISI ambaye ndiye mfanyakazi bora.


kulia ni meneja wa dodoma fm radio akimpatia cheti Mwanahabari bora PASCAL MWINJE


BENEDICT NGELANGELA akipewa zawadi toka kwa meneja ya kuwa Mtangazaji Bora.

Meneja msaidizi Lucas Godwini kushoto akimpatia zawadi ya cheti VICTOR MAKWAWA Ambaye amechukua zawadi ya usmart boy

LUCAS GODWIN kushoto akimkabidhi zawadi ya kuwa binti Mrembo ZANIA MIRAJI


Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages