BEN POL ATANGAZA TAR RASMI YA KUZINDUA VIDEO YA SOPHIA, NA MAHALI HUSIKA. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, April 13, 2015

BEN POL ATANGAZA TAR RASMI YA KUZINDUA VIDEO YA SOPHIA, NA MAHALI HUSIKA.


Msanii ben pol ambaye kwasasa anatamba na nyimbo yake ya sophia ambayo imekubalika mpaka kwa wasanii wanzake wakuimba mpaka wakashawishika kuirudia nyimbo hiyo.


Miongoni wa wasanii walio irudia nyimbo hiyo ni pamoja na Peter msechu pamoja na Quick Racker huku wakiimba kwa miondoko tofauti tofauti.
kupitia ukurasa wake wa facebook msanii huyo [ben pol] amepost picha iliambatana na maneno yakuwajuza mashabiki wake kuwa tayari video ya Sophia imekamilika na ameshapanga tarehe ya kuiachia video hiyo ya sophia ambayo location ya nyimbo hiyo imetumika mkoani dodoma.
HAYA NDO MANENO YA BEN POL AMEANDIKA


    News Feed

    ATTENTION!!! UZINDUZI
    RASMI WA VIDEO YA SOPHIA UTAKUWA
    NDANI YA ‪#‎NEW‬ MAISHA CLUB ‪#‎DAR‬ ES
    SALAAM JUMAPILI HII TAR 19.04.2015 !!!
    VIDEO ITAONESHWA KWA MARA YA
    KWANZA KWENYE BIG SCREENS!! NA
    KUTAKUWA NA PERFOMANCES KUTOKA
    KWA WASANII MBALIMBALI
    UWAPENDAO!! SAVE THE DATE
    19.04.2015,
    NA KWA AMBAO WANGEPENDA KUWA
    SEHEMU YA UZINDUZI HUU NIONE INBOX
    (SOPHIA
    OFFICIAL VIDEO PREMIERE THIS SUNDAY
    19.04.2015 ‪#‎AT‬ THE NEW MAISHA CLUB,
    ANYONE CAN BE PART OF THIS LAUNCH CHECK WITH ME INBOX

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages