WASANII KIBAO WAHUDHURIA MSIBA WA ABDU BONGE, TAZAMA PICHA KINACHO ENDELEA MSIBANI - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, March 30, 2015

WASANII KIBAO WAHUDHURIA MSIBA WA ABDU BONGE, TAZAMA PICHA KINACHO ENDELEA MSIBANI

 
Umati wa vijana ukiwa hauamini kutokea kwa kifo cha Abdul Bonge.
 
Meneja wa TMK Wanaume Family, Yamoto Band na Diamond, Said Fella akiwaeleza kinachoendelea baadhi ya mastaa waliofika msibani hapo.
 
Msanii wa filamu za Kibongo, Baba Haji, akiwaelekeza wenzake ulipo msiba.
 
Mdogo wa marehemu Abdul Bonge, Bab Tale akihojiwa na Mwandishi Mwandamizi na Mpigapicha Mkuu wa Magazeti ya Global Publishers, Richard Bukos.
 
Fella akiwaeleza jambo vijana wake.
 
Waombolezaji wakiwa na nyuso za huzuni msibani hapo.
 
Mdogo wa marehemu, Habib Uledi (kushoto) akimueleza jambo msanii wa filamu za Kibongo, William Mtitu.
 
Wasanii wa filamu za Kibongo, Baba Haji na Riyama Ally wakisalimiana kwa kimtindo.
 
Mchekeshaji Kitale a.k.a ‘Mkude Simba’ akiingia msibani huku akifuatiwa na mchekeshaji mwenzake, Stan Bakora.
 
Wasanii wa filamu za Kibongo wakisalimiana.
 
Mdogo wa marehemu aitwaye Idd ambaye alikuwa ndiye wa kwanza kuitwa baada ya kaka yake kuanguka.
 
Kitale na Baba Haji wakifurahia jambo baada ya kukutana.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages