Meneja wa TMK Wanaume Family, Yamoto Band na Diamond, Said Fella akiwaeleza kinachoendelea baadhi ya mastaa waliofika msibani hapo.
Mdogo wa marehemu Abdul Bonge, Bab Tale akihojiwa na Mwandishi Mwandamizi na Mpigapicha Mkuu wa Magazeti ya Global Publishers, Richard Bukos.
Mdogo wa marehemu, Habib Uledi (kushoto) akimueleza jambo msanii wa filamu za Kibongo, William Mtitu.