NAY WA MITEGO KUJA NA COLLAB MBILI ZA KIMATAIFA ALIZO FANYA NA WASANII WA NIGERIA NA GHANA. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, January 13, 2015

NAY WA MITEGO KUJA NA COLLAB MBILI ZA KIMATAIFA ALIZO FANYA NA WASANII WA NIGERIA NA GHANA.



Rapper nay wamitego amesema ameamua kwenda kimataifa zaidi na kufanya kazi na wasanii wawili toka nje.

nay amesema amepokea maoni mengi juu ya kuupandisha mziki wake thamani huku watu wengi wakimshauri kufanya video na Godfather wa afrika kusini.
Nay amesema mwaka huu ameanza kupandisha bei za show zake sababu zilizo pelekea ni kufanya vizuri kwa nyimbo yake ya akadumba na kusema kama anafanya mziki mzuri kwanini nayeye asiwe mkubwa.

Pia amesema yupo tayari kufanya kazi na msanii yeyote wa nje kwani anakua anasukuma mziki mziki wa tanzania mbele.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages