HIKI NDICHO KINACHOMFANYA MAD ICE ASHINDWE KUFANYA COLLAB NA WASANII WA BONGO. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, January 19, 2015

HIKI NDICHO KINACHOMFANYA MAD ICE ASHINDWE KUFANYA COLLAB NA WASANII WA BONGO.

Kama unamfatilia vizuri msanii Mad Ice tangu aanza kazi zake za mziki tangu enzi za Wange na zinginezo, utagundua kuwa colabo zake ni za kushesabika, kama unakumbuka ni kama mbili hivi, remix aliyofanya na Hadmard na ile aliyofanya na Jay Dee Nishike Mkoni.

Wiki iliyopita Mad Ice aliachia video ya wimbo wake mpya "Everithing I Do, ambayo kaifanya mwenyewe bila kumshirikisha mtu, na akatoa sababu za yeye kushindwa kufanya collabo na wasanii wa Bongo.
Mad Ice amesema sababu za kushindwa kufanya kazi na wasanii wa bongo, ni kushindwa kwenda na mda pale ambapo anaahidiana na msanii kufika studio na hivyo kumpotezea muda wake, kama imetokea sana na hivyo kuamua kuachana nao

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages