KUTANA NA MAMBO MATANO ANAYOPENDA KUFANYA DADA HUYU WA BONGO MOVIE SIKU AKISHINDA NYUMBANI, SOMA NAMBA (1) UCHEKE MWENYEWE - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Sunday, January 19, 2014

KUTANA NA MAMBO MATANO ANAYOPENDA KUFANYA DADA HUYU WA BONGO MOVIE SIKU AKISHINDA NYUMBANI, SOMA NAMBA (1) UCHEKE MWENYEWE



'Yuster Nyakachara'

DADA huyu muigizaji wa filamu hapa nchini ambaye pia ni mmiliki wa kampuni ya filamu inayotambulika kwa jina la EAGLE INTERTAINMENT, Leo amezungumzia baadhi ya vitu anavyopenda kuvifanya akiwa nyumbani Cheki hapa.

(1) Kucheza na mbwa wangu nyumbani.
(2) Kutazama Movie za nje na ndani ya
nchi ili kujua nini kinafanyika katika tasnia ya filamu duniani kote kwa kipindi hiki.
(3)Kumsaidia mfanyakazi wangu wa ndani kupika maana mimi kama mama wa nyumba lazima nijisughulishe na vijikazi vidogovidogo vya nyumbani.
(4) Kujisomea vitabu vya hadithi ili kuchangamsha akili yangu isilale.
(5)Kuwapigia simu marafiki zangu walioko nje ya bara la Africa ili kubadilishana mawazo.


HAPA yuster akiwa katika pozzzzz pembeni yake mbwa wake kapozzz www.ngelangelanews.blogspot.comkimtindo..!!!
Written by- Masai Nyotambofu

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages