HII TAARIFA KUHUSU KIFO CHA MTANGAZAJI WA BBC, KOMLA DUMOR - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Sunday, January 19, 2014

HII TAARIFA KUHUSU KIFO CHA MTANGAZAJI WA BBC, KOMLA DUMOR




Mtangazaji wa BBC TV, Komla Dumor amefariki dunia ghafla jana akiwa nyumbani kwake mjini London, Uingereza.Alikuwa na umri wa miaka 41.
Komla-Dumor
Dumor aliyezaliwa nchini Ghana alikuwa mtangazaji wa BBC World News na aliendesha kipindi cha Focus on Africa.
Mtangazaji hwww.ngelangelanews.blogspot.comuyo alijiunga na BBC kama mtangazaji wa radio mwaka 2007 baada ya kufanya kazi ya uandishi wa habari kwa zaidi ya muongo mmoja nchini Ghana. Rais wa Ghana, John Dramani Mahama aliandika kwenye mtandao wa Twitter kuwa nchi yake imepoteza mmoja wa mabalozi wake muhimu.
    Our nation has lost one of its finest ambassadors. @BBCkomladumor was a broadcaster of exceptional quality and Ghana's gift to the world.
    — John Dramani Mahama (@JDMahama) January 18, 2014

                             Inadai kuwa alifariki kwa mshtuko wa moyo.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages