TAZAMA PICHA ZA UTOAJI TUZO ZA WAFANYAKAZI BORA TIMES FM 100.5 FM - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Sunday, December 22, 2013

TAZAMA PICHA ZA UTOAJI TUZO ZA WAFANYAKAZI BORA TIMES FM 100.5 FM

Na hizi ni baadhi ya picha za tukio la utoaji wa tuzo lilivyokwenda, enjoy.

maryam kitosi cheti na Meneja rasilimali watu baada ya kutangazwa Mtangazaji bora wa mwaka
Timu ya kipindi cha Hatua Tatu(Dj Rguy, Maryam Kitosi, Edson Mkisi & Cliford Ndimbo),wakikikabidhiwa cheti cha 'Kipindi Bora cha Mwaka 2013' na 'Meneja Rasilimali Watu, Hellen Mnzava
Hubby akichukua mfanyakazi bor wa vipindi na mfanyakazi bora kiujumla
Dj wa kipindi cha Hatua Tatu Dj R guy akaibuka kuwa Dj bora wa mwaka
Dereva bora wa mwaka anaitwa Hamis Msangi
Tuzo ya mfanyakazi bora idara ya masoko ilienda kwa Dickson
Mtumishi bora wa mwaka kwenye upande wa misosi jikoni na usafi B Hellen alikumbukwa pia kwa tuzo...


Wapendanao..Dida na Ezden & Cliford na Maryam

Baada ya hapo shangwe za kusherekea tuzo zikahamia Nyumbani lounge ambapo Anaconda Lady JayDee alikuwa anatumbuiza.

mum afrika, hubby na Dida The rocker
Ezden The Rocker na Ndimbo
Captain na Hubby
Moko Biashara,Dida,Hubby na mamuu afrka

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages