KANGA MOKO WA INYANYA WAMCHEFUA GAVANA. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, October 17, 2013

KANGA MOKO WA INYANYA WAMCHEFUA GAVANA.

Gavana msaidizi kutoka nchini Nigeria Mrs Orelape Adefilure hajafurahishwa hata kidogo na wanenguaji wa Mwanamuziki kutoka hukohuko Nigeria mzee wa Kukere,Iyanya kwa kuonyesha maumbile yao live. Wanenguaji hao walionekana katika tamasha wakinengua kwa style ya kuinama bila kuvaa nguo ya ndani!

Gavana akifungukawww.ngelangelanews.blogspot.com
''Mrs. Orelope Adefilure: Nyie ni wachezaji wa Iyanya?
Dancers: Ndio mama!
Mrs. Orelope Adefilure: Kama ni lazima mtumbuize bila nguo ya ndani basi sio kwenye tamasha kama hiliI...hebu ona jinsi mnavyojiabisha na kudhalilika,msijaribu kufanya hivi tena!
Dancers: Sawa mama'' 
Hayo mazungumzo yalivyokuwa kati ya gavana na wanenguaji wa Iyanya.

Cheki picha za wanenguaji hao katika tamasha walilotumbuiza bila nguo ya ndani..


Sio Nigeria tu,hapa kwetu Tanzania hilo janga pia tunalo kuna hawa wanenguaji wanavaa kanga bila nguo ya ndani na kuilowesha maji wanajiita Kanga moko ndembendembe hivi umeshawahi kuona wanachofanya wakiwa jukwaani? huwa najiuliza kwa nini wanawake tunajidhalilisha kwa sababu ya pesa! Hebu tufikirie kuhusu tu wetu jamani.


Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages