HUU NDIO MUONEKANO MPYA WA SERIKALI YA WANAFUNZI KATIKA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI NA UTANGAZAJI ARUSHA (A.J.T.C) ANGALIA PICHA ZA VIONGOZI HAO BAADA YA KUAPISHWA. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday, May 31, 2013

HUU NDIO MUONEKANO MPYA WA SERIKALI YA WANAFUNZI KATIKA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI NA UTANGAZAJI ARUSHA (A.J.T.C) ANGALIA PICHA ZA VIONGOZI HAO BAADA YA KUAPISHWA.



WAKIWA PAMOJA NA WAKUFUNZI WA CHUO HICHO

A

Wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa chuo cha uandishi wa habari na utangazaji arusha, aliye simama katikati ni NELSON AYO kutoka classic mcs in town wakipatikana katika chuo hicho

nelsoni ayo mtangazaji wa A.J.T.C FM na ni CO wa classic mcs kutoka chuo cha uandishi wa habari na utangazaji arusha

classic mcs katika pozi na rais wa chuo GEORGE SILANGE





baadhi ya wanafunzi wa uandishi wa habari na utangazaji arusha wakifutilia zoezi zima la kuapishwa kwa viongozi wao
Wakwanza kulia ni Mmiliki wa NGELANGELANEWS.BLOGSPOT.COM, BENEDICT NGELANGELA, aikwa na JULIANA NGELEJA katikati ambaye ni makamu wa rais pamoja na makamu wa raisi wa awamu iliyo pita.




Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages