ANGALIA JINSI SHEREHE ZA KUAPISHWA KWA RAISI MAKAMU WAKE, KATIBU NA P.R.O KATIKA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI NA UTANGAZAJI ARUSHA (A.J.T.C) NI MOTO MOTOOOO - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday, May 31, 2013

ANGALIA JINSI SHEREHE ZA KUAPISHWA KWA RAISI MAKAMU WAKE, KATIBU NA P.R.O KATIKA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI NA UTANGAZAJI ARUSHA (A.J.T.C) NI MOTO MOTOOOO

kushoto ni rais wa chuo cha A.J.T.C GEORGE SILANGE katikati ni msemaji wa serikali ya wanafunzi GOODWILL LINUS pamoja na makamu wa raisi JULIANA NGELEJA wakiingia ukumbi wa chuo.
wanafunzi wa chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha A.J.T.C wakisubiri kuapishwa kwa viongozi wa serikali ya wanafunzi.



hawa ni baadhi ya wakufunzi wa chuo cha uandishi wa habari na utangazaji arusha, kushoto ni LUCAS MODAHA, katikati ni ELIHURUMA CHAO na ANDREA NGOBOLE.

mawaziri wa serikali ya wanafunzi katika chuo cha uandishi wa habari na utangazaji arusha



raisi wa chuo hicho GEORGE SILANGE akila kiapo cha kuwa raisi wa chuo cha uandishi wa habari na utangazaji arusha.
makamu wa rais JULIANA NGELEJA akila kiapo.
afisa mahusiano GOODWILL LINUSI akiapa
katibu wa chuo cha uandishi wa habari na utangazaji arusha ISACK MACHA akiapa
 
mkufunzi wa chuo chaa uandishi wa habari na utangazaji arusha LUKASI MODAHA akiwaasa viongozi wa chuo hiCHO.


Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages