
msanii huyo amekanusha nakusema kuwa hakuelewa swali ndio maana alijibu akimaanisha ni shoo za miaka mitatu na za mwaka mmoja maana shoo zake zote huwa anahesabu.
msanii wa mziki kutoka WCB amepokelewa kwa kishindo baada ya kushinda tuzo ya BET, na wakazi wa Dar es salaam walijitokeza kumpokea. TAZAM...