HII NI COLLABO YA FUNGA MWAKA KATI YA JACCO BEAT NA WISE ONE - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, September 12, 2016

HII NI COLLABO YA FUNGA MWAKA KATI YA JACCO BEAT NA WISE ONE

Wasanii wawili wa muziki wa kizazi kipya kutoka dodoma ambao wanafanya miondoko ya R&B wamekutana na kuunda collabo itakayo wakutanisha kwa pamoja.
Nyuma ni Jacco beat akiwa na Wise one
Wakizungumza na mwandishi wa mtandao huu Jacco beat na Wise one wamesema wamekutana kwa pamoja ili kuwapa ladha tofauti mashabiki zao na wasio mashabiki zao.

pia wamesema wamepanga kuleta utofauti wa muziki kwani wamejifunza mengi sana baada ya kutembea sehemu tofauti tofauti na kujua zaidi watu wanafanya nini na mashabiki wanahitaji nini zaidi kwenye muziki.

kuhusu tarehe ya kuutoa wimbo huo bado haijawa rasmi lakini wimbo huo tayari umesharekodiwa.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages