WISTON MAKANGALE NA JAQUELINE MATERU WAWEKA HISTORIA KWENYE TUZO ZA NYAMBAGO KANDA YA KATI. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Saturday, February 27, 2016

WISTON MAKANGALE NA JAQUELINE MATERU WAWEKA HISTORIA KWENYE TUZO ZA NYAMBAGO KANDA YA KATI.

tuzo za nyambogo awards kanda ya kati zimefanyika rasmi siku ya jana na kuhudhuliwa na watu wengi zaidi akiwemo afisa utamaduni manispaa ya dodoma.

katika tuzo hizo za kanda ya kati wapo ambao waliibuka kidedea na wengine ambao walishindwa kuwika kutokana na kura kushindwa kukamilika.

lakini kwa upande mwingine vipo vipengele ambavyo vimeweza kuwanyanya zaidi washiriki kwa kuibuka washindi kwa mara ya pili mfululizo.

miongoni mwa vipengele hivyo ni pamoja na Kipengele cha muigizaji bora wa kiume na mtangazaji bora wakiume kanda ya kati.

tuzo zote hizo ka mara nyingine tene zimebebwa na wahusika wale wale walio weza kunyakua kwa mwaka juzi.
muigizaji bora wakike

ni Wiston Mkangale mtangazaji bora wakiume na Jacqueline materu muigizaji bora kike kanda ya kati ndio ambao wameweza kuibuka vinara kwa mara ya pili mfulululiza.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages