MANENO YA NILLAH BAADA YA KUKOSA TUZO YA NYAMBAGO. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, February 29, 2016

MANENO YA NILLAH BAADA YA KUKOSA TUZO YA NYAMBAGO.

Msanii wa muziki kutoka dodoma ambaye kwasasa yupo kwenye uangalizi wa THT amesema kukosa kwake tuzo si kitu kwani anaujua uwezo wake ni mkubwa sana na hauwezi kukwamishwa kwaajili ya kukosa tuzo.

Nillah ameyasema hayo kupitia kipindi cha micharazo time toka 98.4 dodoma fm radio nakusema amefurahishwa na matokeo kutokana na aliye chukua tuzo ni mtu wa dodoma na tuzo ni za dodoma kwahiyo anafurah yakutosha zaidi.

pia ameongeza kwa kusema hajakatishwa tamaa na kuto kupata tuzo kwani ataongeza nguvu zaidi kutokana na mziki anao ufanya ni wakitaifa zaidi na kimataifa.

kwasasa nillah anampango wa uachia ngoma mpya na ametangaza kuwa itakuwa ni suprize kwa mashabiki zake.

souce MICHARAZO TIME

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages