MSANII BORA WA KIKE KANDA YA KATI ATANGAZA KUACHIA KAZI ALIYOFANYA NA NEY WAMITEGO. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, March 1, 2016

MSANII BORA WA KIKE KANDA YA KATI ATANGAZA KUACHIA KAZI ALIYOFANYA NA NEY WAMITEGO.

Baada ya kupata tuzo ya msanii bora wa kike kanda ya kati msanii KOKU amesema kwasasa anataka kusema asante kwa mashabiki zake ka kuachia wimbo aliyo mshirikisha mkali wa shika adabu yako Ney Wamitego.

ameyazungumza hayo kupitia kipindi cha micharazo time toka 98.4 dodoma fm radio na kusema amesha rekodi wimbo toka mwaka jana na kinachofuata ni kuachia tu si kingine na kwasababu kapata tuzo basi imempa nguvu ya kuachia wimbo huo.

KOKU amesema wimbo huo anatarajia kuachia katikati ya mwezi huu wa tatu, na mipango ya video inakaribia.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages