DIR LINUSS GIGGS AMTAJA MSANII AMBAYE ANATAMANI KUFANYA NAE VIDEO NDANI YA DODOMA. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, February 24, 2016

DIR LINUSS GIGGS AMTAJA MSANII AMBAYE ANATAMANI KUFANYA NAE VIDEO NDANI YA DODOMA.

anaitwa linus giggs ni dir toka dodoma amesema wapo wasanii wengi ambao angependa kufanya nao kazi lakini kiukweli zaidi anavutiwa zaaidi kufanya kazi na msanii kutoka team mve mzee wa mama lao kwa jina breezy.

linus ameyazungumza hayo wakati akihojiwa na kituo cha radio 98.4 dodoma fm radio kwenye kipindi cha micharazo time na kusema breezy ni msanii ambaye anaadabu, heshima, pia anaipenda kazi yake na kujutuma pia kwa ni vitu ambavyo anavyovipenda toka kwa breezy.

hakuishia hapo linuss amesema kuna siri kubwa kwenye muziki wa breezy kwani ni mjanja na apenda kazi zifike mbali zaidi kwaiyo kufanya kazi nae inaweze kufika mbali zaidi si mtu wa kukumbatia vitu anavyovifanya.

licha ya hayo linuss giggs amewaomba mashabiki wa burudani kanda ya kati kuendelea kumpigia kura kwenye tuzo za nyambogo kama mtayarishaji bora wa video.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages