BIG BORN 90,_ HAKUNA MSANII ANAYE STAHILI KUCHUKUA TUZO YA MWANAMUZIKI BORA ZAIDI YANGU. - NGELANGELA NEWS

Post Top Ad

Wednesday, February 17, 2016

demo-image

BIG BORN 90,_ HAKUNA MSANII ANAYE STAHILI KUCHUKUA TUZO YA MWANAMUZIKI BORA ZAIDI YANGU.

Responsive Ads Here
Msaniiwa mzuki nchini kutoka dodoma big born 90 amesema anastahili kuchukua tuzo ya msanii bora wakiume kutokana na kazi zake alizo zifanya mpaka sasa.
12728817_1537339096566398_273513201769188945_n
big born 90 ameyasema hayo kupitia kituo cha radio 98.4 dodoma fm radio kipindi cha micharazo time kinacho endeshwa na benedict ngelangela, big amesema anastahili kuchukua tuzo hiyo kwani muziki anao ufanya ni mkubwa na hakuna mwanamuziki anafanya kazi kama yeye na mziki wake ni tofauti.

big born 90 pia amewaomba watanzani waweze kumpigia kura kama mwanamuziki bora wakiume kupitia kipengele cha mwanamuziki bora wakiume.

kupiga kura tembelea www.nyambagoawards.co.tz.

Post Bottom Ad

Pages

Contact Form

Name

Email *

Message *