KUNDI LA RAP NATION PAMOJA NA DODOMA FM RADIO WASHOW LOVE KWENYE MAHAFALI YA KIDATO CHA SITA KWA MSANII WISE ONE. TAZAMA PICHA. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Saturday, April 25, 2015

KUNDI LA RAP NATION PAMOJA NA DODOMA FM RADIO WASHOW LOVE KWENYE MAHAFALI YA KIDATO CHA SITA KWA MSANII WISE ONE. TAZAMA PICHA.






































Wise one ni msanii kutoka dodoma na mwenye kipaji cha pekee kutokana na sauti yake anayoitumia kwenye nyimbo zake.

hivi karibuni siku ya alhamisi msanii huyo alifanikiwa kuweka historia nyingine kwenye maisha yake kwa kufanikiwa kumaliza kidato cha sita, baadhi ya wasnii wenzake kutoka dodoma waliweza kufika kwenye mahafali ahyo kwa mkupongeza msanii huyo. kundi la rap nation ni miongoni mwa wasanii hao walio hudhuria kwenye mahafali hayo pamoja na watangazaji wa dodoma fm radio. 

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages