
Wasanii wengi wa muziki mkoani dodoma wanashindwa kusogea kutokana na kukosa usimamizi mzuri wa kazi zao binafsi na wengi wao wakiishia kuzisikiliza kazi zao majumbani na kwao.
kwa kuligundua hilo msanii mwenye sauti ya kipekeemkoani dodoma Jacco beat ameamua kuachia kazi zingine kufanywa na mtu mwingine ili kuruhusu kazi zake kuwafikia watu wengi zaidi.
kupitia ukurasa wako wa facebook alipost picha yenye ujumbe wa kumtambulisha msimamizi wa kaze zake kanda ya kati.
UJUMBE WA JACO BEAT.