HII NDIO TEAM HATARI YA KIPINDI BORA CHA MAPENZI (USIKU MWAKA) TOKA 98.4 DODOMA FM RADIO. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, April 15, 2015

HII NDIO TEAM HATARI YA KIPINDI BORA CHA MAPENZI (USIKU MWAKA) TOKA 98.4 DODOMA FM RADIO.

leo mtandao huu wa ngelangelanews.blogspot.com unakukutanisha na vijana wawili machachari toka kwenye radio pendwa ya mkoa wa dodoma 98.4 dodoma fm radio ambao wamejichukulia umaarfu mkubwa kutokana na umahiri wao kutangaza na kutoa habari mbalimbali za mapenzi.
kuanzia saa 4 usiku mpaka saa 6 usiku kupitia kipindi cha USIKU MWAKA utamsikia LIVINGSTONE MWANGINGO na MICHAEL ANDREW CHAOPA  ambapo hapo utapata fursa nzuri ya kusikia nyimbo taaaaaam za taratibu pamoja na habari mbalimbali zinazo husu mapenzi huku pia msikilizaji akipata nafasi ya kutafuta marafiki wa kuchat nae.
kwa maelezo zaidi na kutambua hawa vijana wanafanya nini jaribu kusikiliza kipindi hicho kila siku usiku kuanzia jumatatu hadi alhamisi saa nne hadi sita usiku.......
USIKOSE..................
Kwa mawasiliono zaidi na watangazaji hao tembelea kurasa zao za facebook
LIVINGSTONE MWANGINGO facebook, Instagram LIVINGSTONE_MWANGINGO
Wakati kwa upande wa KING CHAO Facebook ni MICHAEL ANDREW CHAOPA.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages