ligi hiyo inayokutanisha mitaa mbalimbali ndani ya manispaa ya Dodoma ambayo imelenga kuibua vipaji ambavyo vimejificha pamoja na kuhamisisha ukuzaji wa mchezo huo ndani ya mkoa huu wa dodoma.
![]() |
timu ya mihuji |
![]() |
timu ya makole |
round ya 2.
MIHUJI vikapu 35 MAKOLE 28
ROUND 3
MIHUJI vikapu 41 MAKOLE 38.
ROUND 4.
MIHUJI vikapu 61 MAKOLE 56.
Mpaka mchezo unamalizika MIHUJI imeibuka na ushindi wa vikapu 61 kwa 56 dhidi ya MAKOLE.