WISTON MAKANGALE NDANI YA MICHARAZO TIME YA 98.4 DODOMA FM RADIO, AMEYASEMA HAYA WKUHUSU ONE SIX, SPARROW. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday, August 19, 2016

WISTON MAKANGALE NDANI YA MICHARAZO TIME YA 98.4 DODOMA FM RADIO, AMEYASEMA HAYA WKUHUSU ONE SIX, SPARROW.

Kupitia kipindi kinacho ruka kila juma tatu hadi ijumaa saa kumi na nusu hadi saa moja na dk 10 kumi (micharazo time) mtangazaji na mwanamuziki Wiston Makangale amesikika wakati akifanya mahojiano na muongozaji wa kipindi hicho Benedict Ngelangela na kusema anampango wa kuja kwa kasi katika game la muziki hususani kwenye ushindani wa Dodoma.


Makangale amesema anatarajia kuachia wimbo alio ufanya na wasanii wa wawili wa mkoani Dodoma ambao ni One Six pamoja na Sparrow wa mawazo nitulize, akielezea wimbo huo umeutaja kuwa ni wimbo wenye miondoko ya mduara na vionjo vya asili.

sababu ya kufanya muziki wa aina hiyo ni kutokana na kuwa anauhusudu muziki wenye vionjo vya namna hito.

SOURCE: MICHARAZO TIME 98.4 DODOMA FM RADIO.

NA BENEDICT NGELANGELA.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages