![]() |
YOUNG 60 RAPPER |
SOMA ALICHO ANDIKA.
Moja kati ya vichwa vilivyo nifnya kuipenda sanaa ya muzik ni huyuuu hapa Jamaa anakwenda kwa jina la Langa kileo kwasasa nimarehem alifalk 2013 (r.I.p) Alisha wahi kuwa winner shindano flan HV LA cocacola popster pia alikuwa mwandishi mzuri wa mashaili pia namtambulisha kwangu kama my no. 1 mc in africaaa kwan alikuwa rapper ambae anaweza akafanya chochot muda wowote na wakati wowote kifo chakee hakikusikika sanaa kwani msimba wake ulizimwa na warapper mwenzeke wakuitwa arbet mangwear lakin arbet kifo chake kili tangulia Jamaa hakukaa sanaa naee akafata tukimzungumzia gwear alikuwa rapper mzur ambae alikuwa hawez kufunikwa na mtu yeyoto yule pia alisifika kwa uwezo wake mkubwa wa kufreestyre. kiswahili mitindo huru Jamaa nae alifariki mwaka huohuo kiukweli hakuna mtuu aliye wahi kufikili kwamba kuna mtu atakuja kuzikwa na watu wengi zaiid kuliko the gret kanumba lakina Jamaa alivunja baada ya kifo chake kwanza kifo kilitokea afrika ya kusini mpaka mwili kufika mbongo alichukua takriban Sikh 3 au 4 kama sikosei na mwili ulivyo fika airport ulipokelewa na umati wa watu wenge ambao haukuwahi kutokea kiukweli gwear kifo chake kilitikisa nnchi nasio hapa bongo tu mpaka baadh ya nnch za Africa kilicho nifanya niwakumbushe kifo cha waha Jamaa ni kimoja2 kwamba nlikuwa nawatazama kama mfano kwangu kama kioo lakin bahat mbaya mungu aliwapenda zaiid nakusu ile skendo yaoo ya kuhusu utumiaji wadawa za kulevya nikweli na kabla langa kifo hakija mkuta alisha fungua tasisi ya kupiga vita dawa zakulevya na kumtetea mteja lakin yeye alikwisha achaa kutumia unga lakini kwa upande wa gwear sina uhakika lakin watu wengi wlifaham kwamba Hawa Jamaa walikuwa wanashutumiwa kuhusu utumiaj wa dawa za kulevya chonde chond vijana wenzangu mbaya zaiid kwetu sisi ambao tupo mwenye indstr nzima ya muzik sistm kushawishika in rahisi chakufanya nikuepukana na makund na umalekani mwingi madawa ya kulevya noumaa ...........
![]() |
MAREHEMU LANGA |