YOUNG 60. UJIO MPYA HAKUNA COPY NA KUPASTE, NIMENYOOSHA MIMI MWENYEWE. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, February 24, 2016

YOUNG 60. UJIO MPYA HAKUNA COPY NA KUPASTE, NIMENYOOSHA MIMI MWENYEWE.

Msanii wa muziki toka kanda ya kati dodoma ambaye anatokea kintiku wakuitwa YOUNG 60, amesema kwasasa anatarajia kuja na ujio mpya ambao anataraji kuachia wiki ijayo.

akizungumza na kipindi cha micharazo time toka 98.4 dodoma fm radio YOUNG 60 amesema anatarajia kuachia wimbo wake mpya ambao umetengenezwa na producer KIDMANE studio za B1 records.

pia 60 Amesema wimbo huo aliopatia jina la MSAFI SAFI hayarudia wimbo wa mtu yeyote kwani idea hiyo ni tofauti kabisa na idea ambazo alisha wahi kuzifanya au kufanya na wasanii wengine toka ndani ya dodoma.

Young 60 ni msanii ambaye alipata sifa kubwa baada ya kurudia wimbo wa kiss daniel unaitwa woju nayeye kugeuza kwa lugha ya kiswahili na kuupa jina la wachuo.

SOURCE MICHARAZO TIME 98.4 DODOMA FM RADIO

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages