Msaniiwa mzuki nchini kutoka dodoma big born 90 amesema anastahili kuchukua tuzo ya msanii bora wakiume kutokana na kazi zake alizo zifanya mpaka sasa.
big born 90 ameyasema hayo kupitia kituo cha radio 98.4 dodoma fm radio kipindi cha micharazo time kinacho endeshwa na benedict ngelangela, big amesema anastahili kuchukua tuzo hiyo kwani muziki anao ufanya ni mkubwa na hakuna mwanamuziki anafanya kazi kama yeye na mziki wake ni tofauti.
big born 90 pia amewaomba watanzani waweze kumpigia kura kama mwanamuziki bora wakiume kupitia kipengele cha mwanamuziki bora wakiume.
kupiga kura tembelea www.nyambagoawards.co.tz.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Wednesday, February 17, 2016
Home
BURUDANI
BIG BORN 90,_ HAKUNA MSANII ANAYE STAHILI KUCHUKUA TUZO YA MWANAMUZIKI BORA ZAIDI YANGU.
BIG BORN 90,_ HAKUNA MSANII ANAYE STAHILI KUCHUKUA TUZO YA MWANAMUZIKI BORA ZAIDI YANGU.
Tags
# BURUDANI
Share This
About inngelangelanews.blogspot.com
BURUDANI
Labels:
BURUDANI
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.