MAGUFULI AWAPONGEZA WASANII WA BONGO WALIONYAKUA TUZO KWENYE TUZO ZA AFRIMMA. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, October 12, 2015

MAGUFULI AWAPONGEZA WASANII WA BONGO WALIONYAKUA TUZO KWENYE TUZO ZA AFRIMMA.

Mgombea wa Urais wa CCM Dr John Pombe Magufuli leo amewapongeza wasanii @diamondplatnumz @ommydimpoz na @vanessamdee kwa ushindi wao waliopata katika tuzo za Afrimma zilizofanyika huko Marekani. Magufuli ambaye amekuwa akitembea na baadhi ya wasanii katika kampeni zake za uraisi amewaahidi kwamba hatowatupa baada ya kampeni.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages