DIRECTOR MPYA WA MOVIE NA FILAMU LINUS GIGGS KUJA NA KAZI ALIYO FANYA NA CHIPUKIZI JOYCE KEY. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Saturday, August 1, 2015

DIRECTOR MPYA WA MOVIE NA FILAMU LINUS GIGGS KUJA NA KAZI ALIYO FANYA NA CHIPUKIZI JOYCE KEY.

kiukweli dodoma kunavipaji vingi sana toka tasnia mbalimbali za burudani, leo nakuletea majina mawili ambayo si mapya sana lakini walikuwa wamesha jaribu kufanya baadhi ya kazi kipindi cha nyuma.
MSANII JOYCE KEY
LINUS GIGGS ni director wa filamu na video za muziki ambaye amemake headlines baada ya kuachia kazi video ya msanii MEMO nyimbo ni WEEKEND ambyo ni kati ya video bora ambazo ziliwai kutokea mkoani hapa.
TAZAMA HAPA KAMA BADO HUJAITAZAMA VIDEO HIYOhttp://ngelangelanews.blogspot.com/2015/07/dodoma-yatoa-video-ya-hali-ya-juu.html
DIRECTOR LINUS KWENYE MUONEKANO
lakini sasa director huyo yupo chimbo akimsuka muigizaji chipukizi wa filamu na video queen JOYCE KEY.
Akizungumza na mwandishi wa mtandao huu kupitia ukurasa wa facebook JOYCE KEY amesema alikuwa kimya muda mrefu kwasababu alikuwa mafichoni wakiandaa kazi mpya ambaye imeongozwa na director LINUS GIGGS toka rafimage.
LINUS NA JOYCE WAKIWA LOCATION
MAZUNGUMZO YALIKUWA HIVI.

  • Benedict Ngelangela ulijifcha wap ww
    Like · Reply · 1 · 21 mins
  • Joyce Key Nilikua chimbo Benedict Ngelangela
    Like · Reply · 17 mins
  • Benedict Ngelangela au ndo Linus Giggsalikufungia location kushoot mavitu hahahahahaha
    Like · Reply · 1 · 16 mins
  • Joyce Key Ahahah umeona ee bado ananipika
    Like · Reply · 1 · 16 mins
  • Benedict Ngelangela utaiva lini situnataka kula
    Like · Reply · 1 · 15 mins
  • Like · Reply · 1 · 14 mins
  • Joyce Key Ahaha uwiiii
    Like · Reply · 13 mins
  • Benedict Ngelangela Sasa atanikoma lazima ahame mtaa
    Like · Reply · 2 · 11 mins
  • Joyce Key Ahahah ni simo
    Like · Reply · 9 mins
  • Benedict Ngelangela kah kah kahaaa hahahahahah kwakher
    Like · Reply · 7 mins
  • aidha JOYCE amesema kazi hiyo itatoka hivi karibuni lakini hakuitaji siku rasmi, bado mtandao huu unafanya jitihada za kumtafuta director linus kuzungumzia kiundani.
    HAKIKISHA UNASAPOTI VYA NYUMBANI.

    Post Bottom Ad

    Responsive Ads Here

    Pages