kizimbani katika mahakama ya Kisutu na
kusomewa mashtaka matatu ambayo ni
kusomewa mashtaka matatu ambayo ni
1. Kukutwa na madawa na vifaa vya kutayarishaji
uvutaji wa madawa
2. Kusafirisha madawa ya kulevya
3. Utumiaji wa madawa ya kulevya
Chidi Benz amerudishwa rumande hadi Novemba
11ambapo ataletwa tena kizimbani.
Dhamana itakuwa wazi kwa masharti ya kuwa na
wadhamini wawili wanaoeleweka na pesa taslimu
milioni 1.