Majibu ya maswali ya Watanzania yanaanza kupata majibu sasa ambapo usiku wa November 28 2013, Ambene (Ay) alipost hii picha hapa chini akiwa na Carol Ndosi, Arthur, Fid Q na Hermy B na kuandika hiyo msg kama unavyoiona hapo chini.
Hii ni ishara kwamba bado kuna muunganiko kati ya watu hawa japo ni muda sasa hivi hatujasikia single yoyote ya Ay imefanywa na B Hits.
B hits ndio ilihusika kutengeneza hits kadhaa za Ay na Fa kama ‘habari ndio hiyo’ ‘Nangoja ageuke’ na ‘Bado nipo nipo’
Majibu ya maswali ya Watanzania yanaanza kupata majibu sasa ambapo usiku wa November 28 2013, Ambene (Ay) alipost hii picha hapa chini akiwa na Carol Ndosi, Arthur, Fid Q na Hermy B na kuandika hiyo msg kama unavyoiona hapo chini.
Hii ni ishara kwamba bado kuna muunganiko kati ya watu hawa japo ni muda sasa hivi hatujasikia single yoyote ya Ay imefanywa na B Hits.
B hits ndio ilihusika kutengeneza hits kadhaa za Ay na Fa kama ‘habari ndio hiyo’ ‘Nangoja ageuke’ na ‘Bado nipo nipo’
CREDIT:millardayo