Ni kama mwaka sasa umepita tangu Snoop Dog Dog alipobadili jina baada ya kuwa RASTA na kujiita Snoop Lion.
www.ngelangelanews.blogspot.com
Habari kutoka kwa Hitmaker huyo wa Drop it like its hot Snoop Dog sasa amejibadili tena jina na kujiitaSnoopzilla...Kwa hiyo si Snoop Dog Dog wala SnoopLion sasa ni Snoopzilla!
Lakini sio Snoop tu ndio aliyebadili jina hata P.didy zamani alikuwa anajiita Puff Dady baadae ndio akabadili a.k.a..
Hapa nyumbani Tanzania Q Chller naye ni jina alilobadili maana hao awali alikuwa anajiitwa Qchief.
www.ngelangelanews.blogspot.com
Habari kutoka kwa Hitmaker huyo wa Drop it like its hot Snoop Dog sasa amejibadili tena jina na kujiitaSnoopzilla...Kwa hiyo si Snoop Dog Dog wala SnoopLion sasa ni Snoopzilla!
Lakini sio Snoop tu ndio aliyebadili jina hata P.didy zamani alikuwa anajiita Puff Dady baadae ndio akabadili a.k.a..
Hapa nyumbani Tanzania Q Chller naye ni jina alilobadili maana hao awali alikuwa anajiitwa Qchief.