MWANACHUO UDOM ACHANGANYIKIWA HATIMAYE KUGOMBANA NA WAZAZI KISA JIDE NA MIRIAM ODEMBA, STORY HAPA - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, September 9, 2013

MWANACHUO UDOM ACHANGANYIKIWA HATIMAYE KUGOMBANA NA WAZAZI KISA JIDE NA MIRIAM ODEMBA, STORY HAPA

 Mwanachuo huyu wa (UDOM) huko mkoani Dodoma anaetambulika kwa jina ''Neeccia Jay'' leo akizungumza na website ya www.masainyotambofu.com amefunguka kwa kina kuhusiana na hisia zake za maamuzi ya
kuimba ni kutokana na kumkubali sana mwanadada ''Lady Jay Dee'' kwa style ya uimbaji pamoja na kujiheshimu, ''Neecia'' hakuishia hapo alitiririka kwamba moja kati ya vitu vinavyo sababisha amkubali Jide ni kudumu kwenye game kwa muda mrefu bila kutetereka. Mazungumzo na mwandishi yalikuwa hivi-
Mwandishi: Una umri wa miaka mingapi na una vipaji vingapi?
Neeccia: Mbali na Umodo pia naimba mziki...
Mwandishi: Umeanza muziki lini na mpaka sasa una singo ngapi?
Neeccia: Nimeanza muziki mwaka 2005 nikiwa na umri wa miaka 14 kipindi hicho niko kidato cha 1 kiukweli muziki ulinigombanisha sana na wazazi wangu ila nikakomaa mpaka leo nna singo nyingi ila natarajia kuachia mbili kwanza.
 Mwandishi: Enhee.. Hebu niambie upande wa umodo ulivutiwa na nani hasa mpaka ukajikuta ndani ya ishu hiyo ya ?
Neeccia: Mimi tangu enzi hizo nilivutiwa sana na mwanadada Miriam Odemba. Hata napowaza kushiriki katika mambo haya huwa natamani nifike alipofika.
Mwandishi: Mpaka hapo nadhani wasomaji wangu watakuelewa nakupa nafasi uwaage wasomaji wangu kwa chochote.
Neeccia:  Kwa sasa nawaomba wadau wa website ya www.masainyotambofu.com wanipigie kura kwenye mchuano wa Miss Beer Worldwide Model Contest kunipigia kura bonyeza link hii hapa chini--http://www.missbeer.org/contestant/8489

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages