- NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, June 17, 2013

ANGALIA JINSI SHINDANO LA REDDS MISS MOROGORO LILIVYO MATA, WAWILI WAENGULIWA KWA KUVAA NUSU UCHI


 warembo  wakipita  jukwaani kwa vazi la ufukweni
 Vazi  lillowaponza warembo  wawili  waliozidisha kuvaa nusu uchi
 Mrembo Safina Chuma mwenye namba  5 aliyevalia gauni la nembo ya  Taifa  ambae  alitimuliwa  kuendelea  kushiriki kutokana na kuvaa nusu uchi


hapa  Saphina Chuma kutoka  Kilombero ambae  alienguliwa baada ya kupanda  jukwaani na chupi hivyo kukosa  sifa  ya  kuendelea na shindano hilo hapa akipewa  kifuta jasho

 Mshiriki  Neema  Joel mwenye namba 8  wa  pili kulia akiwa na  washiriki wengine kabla ya kuenguliwa kwake kwa  kuvaa nusu uchi na kushiriki shindano  hilo Arusha na kutaka tena Morogoro kinyume na sheria  za shindano hilo ambalo linazuia mrembo kushiriki shindano hilo mara mbili kwa ndani ya mwaka mmoja
Hapa jaji  mkuu Alix James  NIkitas wa shindano  hilo akiwashusha  jukwaani Neema na Safina kwa  kukosa  sifa  za kushiriki shindano  hilo







 Mrembo aliyevaa nusu  uchi  kupitiliza akitoka jukwaani baada ya kufukuzwa
Neema Joel kulia  pia akitolewa jukwaani baada ya kushiriki Arsha na kuja Morogoro tena
 Hapa kabla ya mchujo  wa tano  bora  jaji akieleza  sababu za kuwaengua  washiriki  wawili waliokwenda kinyume na aadili ya mamiss
 Mgeni rasmi Mhe Mustafa Mukulu (mwenye koti jeusi) akimuuliza mratibu mkuu wa Miss Tanzania Taifa Hashim Lundenga  juu ya vichupi  vya  washiriki hao

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages