JUMA NATURE KUACHIA NGOMA NA TUNDA MAN SIKU YA KESHO - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday, March 15, 2013

JUMA NATURE KUACHIA NGOMA NA TUNDA MAN SIKU YA KESHO





Baada ya kukaa kimya kwa mda mrefu, the long time legend kwenye mziki wa bongo fleva, Juma Kassim Kiroboto, Juma Nature, ameamua kudondosha fleva mpya kwa maskio yako akiwa amemshirikisha Tunda Man
 juma nature amesema ngoma hiyo iatsikika siku ya juma mosi ya kesho na itatoka kwenye mitandao mbalimbali. usikose kupitia blog hii kesho upate hiyo ngoma.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages