wakazi wa kata ya ngusero mtaa wa majasho wameilalamikia manispaa ya arusha kwa kushindwa kuzoa takataka zilizorundikwa pembezoni mwa barabara kwa lengo la magari ya manispaa kuzichukua na kupeleka sehemu husika
Malalamiko hayo yametolewa na qwakazi wa mtaa huo baada ya takataka zilizorundikwa kwa muda wa wiki mbili bila gari la taka kupita na kuzipeleka sehemu inayotakiwa.
aidha wakazi hao wamesema takataka hizo zimekua ni kero kwasababu zimekaa mpaka zimeanza kuta harufu mbaya kitu kinachosababisha hata watu kushindwa kupita maeneo hayo, wakati wanachangia shilingi elfu moja kwa mwezi.
kwa upande mwingine mwenyekitiwa mtaa huo bw. Charlz sumari amesema alishawahi kuchukua hatua ya kutoa taariofa sehemu husika lakini hakuna marekebisho ambayoyamejitokeza mpaka sasa
sanjari nahayo mmoja wa wakusanyaji fedha za taka, Bi.Fatma Ally, amaeasema takataka hizo hazzolewi kutokana na wakazi wa mtaa huo kurundika takataka sehemu ambazo magari hayawezi kupita, kweahiyo ni lazima watu waweke taka sehemu zilizopangwa na sio kumwaga sehemu isiyopangwa.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Thursday, February 7, 2013

Home
Unlabelled
WAKAZI WA KAT YA NGUSERO WAILALAMIKIA MANISPAA YA ARUSHA KWA KUSHINDWA KUZOA TAKATAKA ZILIZO ZAGAA
WAKAZI WA KAT YA NGUSERO WAILALAMIKIA MANISPAA YA ARUSHA KWA KUSHINDWA KUZOA TAKATAKA ZILIZO ZAGAA
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.