PICHA: HII NDIO SHULE YENYE WANAFUNZI WENGI KULIKO WOTE HALMASHAURI YA JIJINI LA DODOMA, INAWANAFUNZI ZAIDI YA ELFU 3. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Friday, June 1, 2018

demo-image

PICHA: HII NDIO SHULE YENYE WANAFUNZI WENGI KULIKO WOTE HALMASHAURI YA JIJINI LA DODOMA, INAWANAFUNZI ZAIDI YA ELFU 3.

Responsive Ads Here
Katika kuadhimisha wiki la unywaji wa maziwa ambalo limehitishwa ijumaa ya tarehe 1 june 2018 kampuni ya uzalishaji na uuzaji wa maziwa nchini ASAS DIARIES Iliweza kugawa maziwa  bure kwa baadhi ya Shule za msingi ambazo zinapatinakana katika jiji la Dodoma.

Takribani shule Tano zilifikiwa kwakutembelewa na kampuni hiyo, Na moja ya shule ambayo ilibahatika ni pamoja na Shule ya Msingi Nkuhungu ambayo inaidadi ya wanafunzi zaidi ya elfu tatu (3000+) na takribani ya wanafunzi wote waliofika siku hiyo walipata pakiti moja ya maziwa ya ASAS FRESH.

TAZAMA PICHA.




IMG-20180601-WA0065

IMG-20180601-WA0066

IMG-20180601-WA0067

Post Bottom Ad

Pages

Contact Form

Name

Email *

Message *