GIFTEDSON--NINA COLLABO NA MSANII KUTOKA BURUNDI PAMOJA NA KENYA. - NGELANGELA NEWS

Post Top Ad

Tuesday, August 22, 2017

demo-image

GIFTEDSON--NINA COLLABO NA MSANII KUTOKA BURUNDI PAMOJA NA KENYA.

Responsive Ads Here
Baada yakutoa EP album yake akiwa ni msanii wa kwanza kufanya ivo kutoka Dodoma Giftedson ameelezea mafanikio yake aliyoyapata mpaka sasa baada ya kuachia EP album yake.
Giftedson+%2526+Queen+Fifi+%25E2%2580%2593+Shiida+%2528audio%2529+%2540africanmishe.com
akizungumza kwenye kipindi cha micharazo time toka 98.4 dodoma fm radio Gifted amesema baada yakuachia EP yake amefanikiwa kukutana na watu wengi zaidi ambao ni wakubwa kwenye muziki wa bongo na wamekuwa wakimsaidia kufanya mambo makubwa pamoja nakumuonesha njia yakupita.

Ameongeza nakusema anashukuru Mungu EP yake yenye nyimbo tano imefanikiwa kupendwa hadi nje ya nje na kuna msanii kutoka Burundi ameomba kufanya remix ya wimbo mmoja wapo ambao unapatikana kwenye album yake hiyo.

ikumbukwe kuwa EP album hyo inajumla ya nyimbo tano alizo shirikiana na msanii wa kike kutoka Arusha Quenn Fifi pamoja na Haidary Scoda huku Onesix ni mmoja wa wasanii wakuimba walio husika.

Post Bottom Ad

Pages

Contact Form

Name

Email *

Message *