binladen |
Pia amesema kwasasa anauwezo wakumpigia simu mtu yoyote aliye kwenye kiwanda cha burudani na akapokea bila wasiwasi na moja ya kitu kingine ambacho ameweza kukipata ni kujulikana zaidi kwa watu hata walio mbali na wasio wapenzi wa muziki kabisa.
pamoja na hayo Bin Laden kwasasa ametangaza ujio wake wa studio mpya ambayo ameipa jina la destination sound ambayo inamilikiwa na yeye mwenyewe natayari wameachia wimbo ulioimbwa na Tasha la Diva.