Onesix amesema sababu za kuchelewa kwa video hiyo ni kutokana na matatizo yalimkuta muongozaji wa video hiyo kwakuharibikiwa na computer aliyokuwa anaifanyia kazi ikapelekea aagize vifaa hivyo toka nje ya nchi hali iliyompelkea ashindwe kuedit kwa haraka video hiyo ya mama dont cry.
ITAZAME VIDEO HIYO HAPA.