ONE SIX AELEZA UGONJWA UNAOMSUMBUA, MADAKTARI WASHAURI APUMZIKE, ASITISHA SHUGHULI ZAMUZIKI - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday, June 23, 2017

ONE SIX AELEZA UGONJWA UNAOMSUMBUA, MADAKTARI WASHAURI APUMZIKE, ASITISHA SHUGHULI ZAMUZIKI

Msanii wa muziki wakizazi kipya Onesix kutoka Dodoma ambaye anafanya vizuri na wimbo wake Mama dont cry ameweka wazi kitu ambacho kinamsumbua baada yakupost picha kwenye ukurasa wake wa facebook akiwa kitandani anaumwa nakuomba watu wamuombee arudi kwenye hali yake ya kawaida.
Image may contain: one or more people and indoor
Akizungumza na kipindi cha micharazo time cha 98.4 dodoma fm radio Onesix amesema amekuwa akisumbuliwa na homa ambayo inapelekea kuushiwa nguvu nakushindwa kufanya kazi ya aina yoyote huku tumbo na kichwa vikiuma kwa muda mrefu hali iliyopelekea madaktari kumwambia apumzike.

Hali hiyo imepelekea msanii huyo kusitisha shughuli zake za muziki kwasasa hadi pale atakapo pata nafuu na nguvu yakuendelea na kazi hiyo pamoja kupiga show ambazo kwakipindi hiki imekuwa nguvu kuzipokea kabisa.

amesema pia kwasasa alikua mbioni kuachia video yake mpya lakini imeshindikina kutokana na kuumwa kwani alitarajia kuachia video na audio mwezi wa saba.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages