msanii wa muziki wa kizazi kipya Jacco Beat kutoka dodoma ambaye alitamka kuacha muziki hivi karibuni ameigeuka kauli yake hiyo baada yakutangaza kuachia ngoma kwa mfululizo.
kupitia ukurasa wake wa facebook Jacco Beat ameandika maneno yanayo ashilia kuwa anakuja na ujio wakishindo.
kitu chakujiuliza ni kwamba Jacco aliwatania mashabiki kuwa anaacha muziki au alikuwa anatafuta kiki ili watu wamzungumzie? huyu sio msanii wa kwanza kufanya hivo bali kauli hiyo iliwahi kutolewa na mwanamuziki Chid Benz ambaye alirudi tena kwenye muziki.
HIKI NDICHO ALICHOANDIKA JACCO BEAT KUPITIA UKURASA WAKE WA FACE BOOK.
Wale wote mliochoshwa na subira juu yangu....now the waiting is over......nahitaji kuanza kuamsha madude sasa.....nachukua nafasi hii kukuomba kunicheki whatsapp kwa namba 0658074341 niku add kwenye group la Jaco Beatz die hard fans kwa kuwa tayari na wakwanza kupokea suprise kazaa nazotaka kudondosha
endelea kutembelea mtandao huu kujua zaidi.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Tuesday, June 27, 2017
Home
BURUDANI
JACO BEAT KUWAAMSHIA MASHABIKI DUDE, KAULI YAKE YA KUACHA MUZIKI KUMBE ILIKUWA NIKUTAFUTA KIKI.
JACO BEAT KUWAAMSHIA MASHABIKI DUDE, KAULI YAKE YA KUACHA MUZIKI KUMBE ILIKUWA NIKUTAFUTA KIKI.
Tags
# BURUDANI
Share This
About inngelangelanews.blogspot.com
BURUDANI
Labels:
BURUDANI
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.