JACO BEAT KUWAAMSHIA MASHABIKI DUDE, KAULI YAKE YA KUACHA MUZIKI KUMBE ILIKUWA NIKUTAFUTA KIKI. - NGELANGELA NEWS

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, June 27, 2017

JACO BEAT KUWAAMSHIA MASHABIKI DUDE, KAULI YAKE YA KUACHA MUZIKI KUMBE ILIKUWA NIKUTAFUTA KIKI.

msanii wa muziki wa kizazi kipya Jacco Beat kutoka dodoma ambaye alitamka kuacha muziki hivi karibuni ameigeuka kauli yake hiyo baada yakutangaza kuachia ngoma kwa mfululizo.
Image may contain: 1 person, closeup
kupitia ukurasa wake wa facebook Jacco Beat ameandika maneno yanayo ashilia kuwa anakuja na ujio wakishindo.

kitu chakujiuliza ni kwamba Jacco aliwatania mashabiki kuwa anaacha muziki au alikuwa anatafuta kiki ili watu wamzungumzie? huyu sio msanii wa kwanza kufanya hivo bali kauli hiyo iliwahi kutolewa na mwanamuziki Chid Benz ambaye alirudi tena kwenye muziki.

HIKI NDICHO ALICHOANDIKA JACCO BEAT KUPITIA UKURASA WAKE WA FACE BOOK.

Wale wote mliochoshwa na subira juu yangu....now the waiting is over......nahitaji kuanza kuamsha madude sasa.....nachukua nafasi hii kukuomba kunicheki whatsapp kwa namba 0658074341 niku add kwenye group la Jaco Beatz die hard fans kwa kuwa tayari na wakwanza kupokea suprise kazaa nazotaka kudondosha

endelea kutembelea mtandao huu kujua zaidi.

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages