Huu ni wimbo mpya toka kwa msanii wa arusha ambye anafanya shughuli zake anazifanya ndani ya mkoa wa Dodoma anaitwa My SON kutoka ROTTEN BLOOD na kwenye wimbo huu ameonekana kukerwa na baadhi ya wasanii kubadilisha style zao za muziki hususani wale wa HIP HOP.
Mwanzo wa video aneonekana MYSON akizitaja ngoma mbili toka kwa weusi ambao ni Waya na Sweet mangi ya Nick Wa pili kama ni nyimbo ambazo hajazielewa kabisa kuwa hawpo kwenye misingi ya HIP HOP.
TAZAMA VIDEO YOTE HAPA CHINI.
BONYEZA HAPA KUITAZA FULL VIDEO.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Thursday, March 2, 2017
Home
BURUDANI
VIDEO
MYSON ARTIST DISS SONG KWA WEUSI NA WASANII WA ARUSHA DIR MOE KAALI WIMBO WAAMBIE. T AZAM AHAPA
MYSON ARTIST DISS SONG KWA WEUSI NA WASANII WA ARUSHA DIR MOE KAALI WIMBO WAAMBIE. T AZAM AHAPA
Tags
# BURUDANI
# VIDEO
Share This
About inngelangelanews.blogspot.com
VIDEO
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.